Karibu Fahari Kuku

Fahari Kuku ni wazalishaji na wasambazaji wa vifaranga wa kuku chotara na chakula cha kuku.

Kuku chotara ni aina ya kuku wanaotokana na kuku wa asili walioboreshwa, wanakua haraka, wana maumbo makubwa na na wavumilivu dhidi ya magonjwa, Wanafaa kwa nyama na utagaji wa mayai.

Tunazalisha vifaranga wa kuku chotara walio bora na wenye chanjo, Bei ya kifaranga wa siku 2 ni Sh 1,500

Fahari Kuku tupo wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, tunasafirisha vifaranga na chakula cha kuku kwenda maeneo ya mikoa mbalimbali kupitia usafiri wa mabasi

 0767659145, 0787659145, 0620246040